Monday, 26 September 2011

VIWALOZI



Nilipenda viwalozi vyao, Dadazi wapemendeza saana mpangilio wa vitu vyako kutoka juu hadi chini , ndio maana hata zeze aliona awafotoe na kuwarusha . Kwa maoni yangu hii inaonyesha jinsi gani unaweza ukavaa nguo ya heshima na kujistiri na bado ukapendeza sana tu. Bila kusahau viatuzi vyao vya ukweli.

No comments:

Post a Comment

New arrivals

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...