| Hapa hata sijui nishike kipi niache kipi , embu nishauri dada. |
| Mimi naona hiki kitakufaa sana Mdogo wangu. |
| Chagua chagua ikiendelea |
| Conso na bi harusi wetu , nao walikuwepo , hapa walikuwa wanajadili waanzie wapiiii |
| Hiki sikiachi kabisaaa , yaani lazima nikichukue . |
| Viatuzi nimeshachagua sasa ngoja nitizame viambatanisho |
| Hii ndiyo rangi tunayotaka , au ni urefu kama huuu ? embu kijaribu kwanza |
| Jumatatu , nitakuvaa na ile suti yangu ya sketi. |
| Hapa nimependeza saaana , na viko comfortable hivi acha tu....... |
| Kapendezaje ???? |
| Kiatu kizuri jamani , yaani kizuri sana , sikiachi kabisaaa |
| Mie niko na accessories tu |
| Embu nicheck wangu , unakionaje hicho kiatu ?? |
| Hii inaendana na ile nguo yangu ya leo jioni , Olivia nipe hiii..... |
| Kweli shoes are women best friends , imagine at this age anajua viatuzi kuna viatu vya ukweliiii |
| daaaah nimependeza |
No comments:
Post a Comment